Thursday, 14 December 2017

MWALIKO WA KIKAO

MWALIKO WA KIKAO
Mkuu wa shule ya sekondari ya wasichana Dr.Asha-Rose Migiro anapenda kuwaalika  wazazi/walezi wa wanafunzi  katika kikao kitakachofanyika shuleni  tarehe 20/12/2017, saa 4.00 kamili asubuhi.
Mzazi/mlezi ni muhimu sana kuhudhuria kikao hicho.